Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
16/09/2021 15:16:04
Mwendeshaji anayeongoza mashindano ya mbio za pikipiki ya 2021 MotoGP Ubingwa wa Dunia Fabio Quartararo anatazamia kurudi kwa kishindo baada ya kupata matokeo mabaya mkondo uliopita wakati mkondo wa 14 wa mashindano hayo San Marino and Rimini Riviera Grand Prix, yatakapofanyika katika uwanja wa Misano World Circuit Marco Simoncelli Jumapili Septemba 19.
16/09/2021 15:05:59
Juventus itapimana nguvu na wababe wenzao AC Milan mechi ya ligi kuu ya Italia Serie A Jumapili tarehe 19 Septemba katika uwanja wa Allianz.
15/09/2021 09:24:35
Tottenham Hotspur watawakaribisha Chelsea Jumapili hii katika mechi ya ligi kuu ya England 2021/22 inayotarajiwa kuwa derby ya London ya kusisimua sana.
14/09/2021 10:08:45
Atletico Madrid itakutana na Athletic Bilbao kwenye Ligi kuu ya Uhispania- La Liga, katika uwanja wa Estadio Wanda Metropolitano Septemba 18.
14/09/2021 09:20:40
Barcelona watatazamia kudhihirisha nia yao katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya watakapowakaribisha Bayern Munich kwenye mechi ya kundi E jumanne jioni.
10/09/2021 13:15:32
Mrusi Daniil Medvedev atakuwa anatafuta kufika fainali ya mashindano ya Tenis ya US Open kwa mara ya pili katika fani yake mwaka huu.