Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

BENCHIKHA AANZA NA MKWARA HUU KWA CHAMA

04/12/2023 10:13:50
KOCHA mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha ameanza kuonyesha makucha yake na kusema hatoangalia ukubwa wa jina la mchezaji au kipenzi cha nani zaidi ya kutaka

'TFF WANANIDHULUMU.....NILIMWAMBIA MO DEWJI SIWEZI KUKAA NA BARBARA...'

04/12/2023 09:34:39
Aliyekuwa Msemaji wa Klabu ya Yanga, Haji S Manara amefunguka kuhusu sakata lake la kufungiwa na Kamati ya

EPL - Manchester City v Tottenham Hotspur

01/12/2023 16:26:24
Manchester City wanapania kuibwaga Tottenham watakapokutana kwenye mechi ya ligi ugani Etihad, Jumapili Desemba 3.
 

IBRAHIM 'BACCA' APEWA FUPA LA AL AHLY...YANGA 'WAKISHITAKI' SIMBA CAF

01/12/2023 15:58:24
Rais wa Klabu ya Yanga Eng. Hersi Said ameitangaza mechi ya Yanga dhidi ya Al Ahly Disemba 2/23 kuwa ni Bacca Day

MASTAA SIMBA WAPEWA 'LAST CHANCE'...MABOSI WAPISHANA KAMBINI KUYAMALIZA

29/11/2023 15:46:33
WACHEZAJI wa Simba wamepewa nafasi ya mwisho kuelekea mchezo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy...
 
 

KOCHA MPYA SIMBA HUYU HAPA...TRY AGAIN AANIKA KILA KITU WAZI

17/11/2023 10:52:57
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’, amesema kocha huyo atapewa faili ya wachezaji wote na kuangalia mechi zilizocheza Simba pamoja na kujiridhisha