Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
29/09/2021 16:13:49
Torino FC itapimana nguvu na mahasimu wao wa mjini, Juventus FC katika ligi kuu ya Italia - Serie A kwenye uwanja wa Stadio Olimpico Grande Torino Octoba 02.
29/09/2021 16:03:14
Liverpool na mabingwa watetezi Manchester City watakutana tena katika mtanane mwingine wa ligi kuu ya England msimu huu wa 2021/22 katika uwanja wa Anfield siku ya Jumapili.
29/09/2021 15:52:26
Atletico Madrid itakutana na FC Barcelona kwenye Ligi kuu ya Uhispania- La Liga katika uwanja wa Estadio Wanda Metropolitano jumamopsi Octoba 02.
27/09/2021 16:11:02
Paris Saint Germain (PSG) itapambana na Manchester City mechi ya kundi A, Ligi ya klabu Bingwa Ulaya mnamo Septemba 28.
24/09/2021 12:19:06
Real Madrid watacheza dhdi ya Villarreal CF ligi kuu ya Uhispania- La Liga katika uwanja wa Estadio Santiago Bernabéu Septemba 25.
24/09/2021 11:58:54
Max Verstappen anatazamia kupata matokeo yasiyotarajiwa na atakaposhiriki mkondo wa 15 wa mashindano ya mbio za magari ya Formula 1 Ubingwa wa Dunia 2021, the Russian Grand Prix, katika mzunguko wa Sochi Autodrom Jumapili 26 Septemba.