Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
14/10/2021 18:03:16
The Atlanta Hawks wamejipanga vizuri kukabiliana vikali na timu ya Miami Heat wakati timu hizo mbili zitakutana kwenye mechi ya kujiandaa kwa msimu wa NBA wa mwaka 2021/2022. Mchezo huo utachezewa ugani State Farm Arena ulioko Atlanta Georgia Ijumaa Oktoba 15 2021 asubuhi saa kumi za afrika ya kati.
13/10/2021 15:07:26
Baada ya kukosa ushindi kwenye mechi kadhaa zilizopita za ligi kuu Uingereza msimu huu, Leicester City na Manchester United wanapania kupata ushindi kila mmoja watakapo kutana katika uwanja wa King Power stadium jumamosi hii.
13/10/2021 14:07:57
Jason Kokrak atanuia kuandikisha historia atakapoanza kutetea taji la kombe la CJ linalotazamiwa kung’oa nanga wiki hii.
12/10/2021 14:44:37
Klabu ya Real Madrid itachuana na Athletic Bilbao katika uwanja wa Estadio Santiago Bernabeu mnamo tarehe kumi na saba mwezi oktoba katika mechi ya ligi, La liga.
12/10/2021 14:37:03
AC Milan watamenyana na Hellas Verona oktoba kumi na sita katika mechi ya ligi ya Italia, Serie A ugani Stadio Giuseppe Meazza
08/10/2021 13:38:40
Philadelphia 76ers na Toronto Raptors wataendelea kujenga hadi 2021-22 NBA watakapokutana katika pambano la Kabla ya Msimu katika Kituo cha Wells Fargo huko Philadelphia, Pennsylvania, asubuhi ya Ijumaa 8 Oktoba 2021. ni saa 02:00.