Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Man United na Arsenal kufufua uhasama wao wikendi hii

30/11/2021 09:48:33
Uwanja wa Old Trafford utakuwa mwenyeji wa mtanange mkali wa mechi ya ligi ya England Manchester United watakapowaalika Arsenal wikendi ya Disemba 2.
 

Chelsea kuendeleza ubabe dhidi ya Man United.

26/11/2021 14:10:17
Chelsea itapania kuzoa alama zote tatu itakapoialika Manchester United jumapili hii ugani Stamford Bridge katika mechi ya ligi.
 

76ers kuwakabili Timberwolves

26/11/2021 13:43:26
The Philadelphia 76ers watakabiliana na Minnesota Timberwolves katika mechi ya msimu ya NBA kwenye uwanja wa Wells Fargo Center uliopo Philadelphia. Mechi hiyo itang’oa nanga majira ya saa saba asubui ya jumapili Novemba 28 2021 saa za afrika ya kati.

Timu tano za kuangalia kwenye Ligi ya Mabingwa

23/11/2021 10:22:15
Michuano bora zaidi ya vilabu Ulaya inaendelea wakati timu 32 zikichuana kuwania nafasi ya kuelekea Urusi Mei 28. Kurejea kwa mashabiki uwanjani kumeongeza morali za timu nyingi zimewakaribisha kwa bashasha.
 

Juventus na Atalanta kukabana koo

23/11/2021 09:59:46
Juventus FC wataialika Atalanta BC ugani Allianz Stadium katika mchezo wa ligi kuu ya Italia Novemba 27.
 

Villarreal na mpango wa kuiangusha Barcelona.

22/11/2021 13:33:20
Villarreal CF na Barcelona watakutana Novemba 27 katika mechi ya ligi kuu ya Uhispania ugani Estadio de la Cerámica.