Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Nets kutonesha zaidi kidonda cha 76ers

15/12/2021 13:41:39
Brooklyn Nets watamenyana na Philadelphia 76ers katika mechi ya ligi ya NBA mnamo Disemba 17. 
 

Spurs na Liverpool wapania kuendeleza ushindi.

15/12/2021 13:21:13
Tottenham Hotspurs na Liverpool watamenyana katika mechi kali ya ligi Jumapili jioni mjini London huku timu zote zikinuia kuendeleza msururru wa matokeo mazuri.

Sevilla kuialika Atletico katika mechi kubwa ya La liga

14/12/2021 10:02:47
Sevilla FC watakuwa wenyeji wa Atletico Madrid katika mechi ya La liga ugani Estadio Ramón Sánchez Pizjuán  mnamo Disemba 18.
 

Leicester wapania ushindi nyumbani dhidi ya Spurs

13/12/2021 17:00:56
Leicester City watapania kushinda mechi ya ligi nyumbani dhidi ya Tottenham Hotspur kwa mara ya tatu ndani ya miaka saba ugani King Power Disemba 16. 
 

Verstappen afukuzia ushindi wa Abu Dhabi

09/12/2021 17:49:18
Max Verstappen wa Red Bull Racing-Honda atapania kushinda taji la mbio za langalanga mkondo wa Abu Dhabi  mnamo Disemba 12. 

Wachezaji watatu wanaowania kiatu cha dhahabu EPL

09/12/2021 13:27:06
Mbio kuwania taji la ufungaji bora katika ligi ya premier zinaendelea kupamba moto huku wachezaji wengi wakiwania tuzo hilo.