Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Spurs kuikabili Nuggets

09/12/2021 13:20:15
The San Antonio Spurs na the Denver Nuggets watamenyana vikali katika mechi ya NBA ugani AT&T Center in San Antonio jimbo la Texas asubui ya Ijumaa tarehe 10 Disemba 2021 kuanzia saa tisa na nusu majira ya afrika ya kati. 

Gerrard arejea Liverpool akiwa kocha wa villa.

09/12/2021 10:37:56
Liverpool wataialika Aston Villa ugani Anfield katika juhudi zao za kupigania ubingwa wa ligi mnamo Disemba 11.

Real na Atletico kutoana kijasho katika Debi ya Madrid

08/12/2021 08:20:23
Real Madrid watakuwa wenyeji wa Atletico Madrid katika mechi ya ligi kuu ya Uhispania Disemba 12 ugani Estadio Santiago Bernabéu.

Venezia kuizamisha zaidi Juventus

07/12/2021 16:39:35
Venezia FC na Juventus watakutana katika mechi ya ligi Disemba 11 kwenye uwanja wa Stadio Pierluigi Penzo.
 

Madrid dhidi ya Inter kuamua mshindi wa kundi D

06/12/2021 17:01:10
Real Madrid wataialika Inter Milan Disemba 7 katika mechi ya ligi klabu bingwa barani ulaya kundi D.
 

Verstappen apania kuendeleza ubabe wake Saudi Arabia

03/12/2021 14:11:12
Max Verstappen wa Red Bull Racing-Honda atakuwa na nia moja tu, kushinda mbio za langalanga Disemba 5 nchini Saudi Arabia.