Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Juventus wanuia ushindi wa tatu dhidi ya Roma

07/01/2022 16:12:48
Juventus watatarajia kupata ushindi wa tatu mfululizo dhidi ya Roma watakapokutana uwanjani Stadio Olimpico januari 9 katika mechi ya ligi. 

Real Madrid wapania kurudi na ushindi

07/01/2022 16:05:24
Real Madrid watapania kurudi na ushindi baada ya kupoteza mechi yao ya pili ya msimu katika ligi watakapoialika Valencia ugani Santiago Bernabeu januari 8. 

76ers na Spurs kuchuana vikali

05/01/2022 13:26:14
Philadelphia 76ers na San Antonio Spurs watamenyana vikali katika mechi ya NBA kwenye uwanja wa Wells Fargo Philadelphia, Pennsylvania jumamosi januari 8 2022. Mechi hiyo itaanza saa nane kamili alfajiri majira ya afrika ya kati. 

Rahm apania kushinda taji la Tournament of Champions

05/01/2022 13:20:13
Mchezaji namba moja wa golfu duniani Jon Rahm anapania kushinda taji la Tournament of Champions kwa mara ya kwanza kabisa. 

Napoli wasaka ushindi muhimu Turin

04/01/2022 08:25:04
Napoli watakuwa wageni wa Juventus ugani Allianz Stadium katika mechi ya ligi jioni ya Alhamisi januari 6 2022. Mechi itang’oa nanga saa nne kasorobo, majira ya afrika ya kati. 

Miamba wa England, Chelsea na Liverpool kukabana koo

28/12/2021 16:31:38
Chelsea na Liverpool watakabana koo katika mechi ya ligi mnamo jumapili januari 2 2022.