Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

Hornets kuikabili Orlando

13/01/2022 15:33:24

Charlotte Hornets watakabiliana na Orlando Magic katika mechi ya NBA ugani Spectrum Center, Charlotte katika jimbo la North Carolina. Mechi hiyo itang’oa nanga jumamosi asubui januari 15 2022 saa nane kamili majira ya afrika ya kati.

Na kutetea taji lake Waialae Country Club, Hawaii

13/01/2022 15:25:27
Kevin Na atatetea taji lake la Sony Open, Hawaii katika shindano litakalojumuisha washindi 10 wa zamani. 
 

Manchester City kuendeleza ubabe wao

13/01/2022 15:16:52
Manchester city watakuwa mwenyeji wa Chelsea katika mechi ya ligi ugani Etihad kunako januari 15 huku wakipania kuendeleza ubabe wake kwenye ligi.

Nigeria wataathari uwezo wa Sudan

13/01/2022 14:31:14
Nigeria wanatarajia kushinda mchezo wao wa pili katika mashindano ya AFCON watakapoikabili Sudan ugani Roumde Adjia katika mechi ya kundi D januari 15.

Juventus kukutana na Udinese huku ikiendelea kuimarika

13/01/2022 14:19:02
Juventus FC itachuana na Udinese Calcio katika mechi ya ligi ugani Allianz Stadium Januari 15.
 

Super Eagles kumenyana na Pharaohs

07/01/2022 16:20:31
Nigeria watapambana vikali na Misri kundi D, katika uwanja wa Roumde Adjia, Garoua kwenye mashindano ya kombe la mataifa barani afrika mnamo Jumanne 11 2022. Mechi itaanza saa kumi na mbili majira ya afrika mashariki.