Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
20/01/2022 14:24:14
The Miami Heat na Los Angeles Lakers watakutana katika mechi ya kukata na shoka ya NBA ugani FTX Arena in Miami, Florida jumatatu asubui januari 24 2022. Mechi itaanza saa saba asubui majira ya afrika ya kati.
18/01/2022 15:33:42
Chelsea watakuwa wenyeji wa Tottenham ugani Stamford Bridge januari 23 wakitazamia kuweka matumaini ya kushinda ligi hai.
18/01/2022 15:27:17
Mashindano ya mwaka huu ya American Express yatang’oa nanga kati ya tarehe 20 na 23 januari, PGA West Private Clubhouse & Golf Courses
18/01/2022 15:21:38
AC Milan na Juventus watachuana vikali katika mechi ya ligi januari 23 ugani Stadio Giuseppe Meazza.
14/01/2022 16:11:52
Mchezaji numba moja duniani wa tenisi Novak Djokovic anapania kushinda taji la Australian Open mara ya kumi ambayo itakuwa ni rekodi kwenye shindano la kwanza la Grand Slam la mwaka linazoanza januari 17.
14/01/2022 13:20:10
Valencia CF atakuwa mwenyeji wa Sevilla FC katika mechi ya La liga januari 19 ugani Estadio de Mestalla.