Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
01/02/2022 14:35:37
FC Barcelona watakuwa mwenyeji wa Atletico Madrid ugani Camp Nou katika mechi ya ligi mnamo Februari 6.
01/02/2022 14:25:58
Cameroon na Misri watamenyana vikali katika mechi ya nusu fainali ya shindano la AFCON 2021 Februari 3.
28/01/2022 15:01:36
Misri itapambana na majirani wake kaskazini mwa Afrika, Morocco katika shindano la AFCON 2021 kwenye mchezo wa robo fainali mnamo Januari 30.
27/01/2022 16:16:40
The Philadelphia 76ers watakabana koo na Los Angeles Lakers kwenye mechi ya NBA Wells Fargo Center in Philadelphia, Pennsylvania Ijumaa Januari 28. Mechi itang’oa nanga saa nane na nusu asubui majira ya afrika ya kati.
25/01/2022 16:27:27
Ivory Coast itachuana na Misri katika mtanange mkali wa raundi ya 16 wa kombe la mataifa bara Afrika mnamo Januari 26 2022.
20/01/2022 14:36:13
Valencia wanapania kufikisha kikomo ubabe wa Atletico Madrid timu hizo zitakapokutana katika mechi ya ligi mnamo januari 22 ugani Wanda Metropolitano.