Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

'MASTA' GAMONDI ALIVYOWATUMIA AL AHLY KUMALIZANA MAPEMA NA CR BELOUIZDAD MECHI YA JMOSI....

22/02/2024 09:25:18
Yanga inahitaji ushindi wa idadi kubwa ya mabao dhidi ya CR Belouizdad ya Algeria, watakaocheza Jumamosi hii uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam
 

AZIZ KI, DIARRA WAMPA TABASAMU GAMONDI NA YANGA YAKE

19/02/2024 13:39:47
KOCHA Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi ameshusha presha, na kusema sasa ana matumaini makubwa ya kufanya vyema katika mechi zinazofuata baada ya kurejea

KUELEKEA MECHI YAO NA WAARABU...YANGA WAANZIA MBALI...TAARIFA ZA CAF HIZI HAPA

19/02/2024 13:18:32
Kikosi cha Young Africans kimeanza maandalizi ya kuikabili CR Belouizdad ya Algeria katika mchezo wa Raundi ya Tano wa hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika

BAADA YA USHINDI WA MBINDE JANA....GAMONDI KAFUNGA MACHO KISHA AKASEMA HILI...

09/02/2024 16:01:11
BAADA ya ushindi na kurejea kileleni kwa alama 34, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema ana matarajio...

EPL - Manchester City v Everton

09/02/2024 14:02:26
Manchester City watakuwa na nafasi ya kuchukua uongozi wa ligi japo kwa muda mchache watakapoalika Everton ugani Etihad mapema Jumamosi Februari 10.
 

GAMONDI NA YANGA YAKE LEO KUJIULIZA TENA MBELE YA DODOMA JIJI

05/02/2024 13:09:24
Yanga inayotumia viungo wake washambuliaji kuweza kupata mabao, huku Pacome Zouzoua akiwa kinara wao wa kufaynga ambaye Dodoma Jiji FC kuweka