Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
11/04/2022 13:18:31
Real Madrid, Atletico Madrid na Villarreal CF wana imani kufuzu na kuingia hawamu ya nusu fainali ya ligi ya UEFA watakaposhiriki mechi za mkondo wa pili wa robo fainali.
08/04/2022 15:20:33
Aleix Espargaro wa Aprilia anatarajia kuendeleza alipoachia wikendi iliyopita kwa kushinda mbio za pikipiki zitakazoandaliwa katika mkondo wa Americas Jumapili Aprili 10, baada ya kupata ushindi wa kwanza wikendi iliyopita.
07/04/2022 16:51:10
Lewis Hamilton ana imani kuwa ataibuka na taji kwa mara ya tatu katika mbio za Australian Grand Prix baada ya kushinda taji hilo mwaka 2008 na 2015.
07/04/2022 16:38:37
The Milwaukee Bucks wanaonekana kujituma zaidi ili kushinda kwa mara ya pili mfululizo taji la ligi ya Eastern Conference watakapokutana na Boston Celtics Ijumaa ya Aprili 8.
06/04/2022 11:59:01
Hatima ya ligi ya Premier msimu huu inaweza kuamuliwa wakati Manchester City watakutana na Liverpool ugani Etihad Jumapili Aprili 10.
06/04/2022 11:56:46
Inter Milan itapambana na Hellas Verona katika mechi ya ligi kuu nchini Italia mnamo Aprili 9 ugani Stadio Giuseppe Meazza.