Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
25/04/2022 14:08:14
Real Madrid atakuwa mgeni wa Manchester City kwenye mechi ya nusu fainali mkondo wa kwanza, UEFA, Aprili 26 ugani Etihad.
22/04/2022 15:32:27
Mbio za langalanga za Emilia Romagna Grand Prix zimepangiwa kufanyika eneo la mji wa Emilia Romagna lililopo kusini mwa taifa la Italia mnamo Aprili 24.
22/04/2022 15:28:15
Bingwa wa muda wa mkanda wa WBC katika mchezo wa ndondi Dillian Whyte atakabiliana na Tyson Fury Aprili 23 ugani Wembley. Watakuwa wakishindania mkanda wa WBC na mikanda mingine ya uzani wa heavyweight.
21/04/2022 16:49:12
Mbio za 2022 Portuguese Grand Prix zitang’oa nanga Portimão ambao ni mji uliopo wilaya ya Faro eneo la Algarve kusini mwa Ureno mnamo Aprili 24.
21/04/2022 16:26:55
Shindano la gofu la mwaka 2022 la Zurich Classic of New Orleans linatarajiwa kuchezewa TPC Louisiana iliyopo Avondale katika jimbo la Louisiana Marekani kati ya tarehe 22 na 25 Aprili.
20/04/2022 15:49:44
Manchester United wanapania kupata ushindi wa pili wa msimu katika ligi dhidi ya Arsenal watakapokutana Aprili 23 ugani Emirates Stadium, Jumamosi.