Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

ZA NDAAANI...SIMBA NA ADEBAYOR MAMBO NI BAM'BAM

21/06/2023 17:21:22
Mabosi wa Simba SC wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa timu hiyo, Salim Abdallah ‘Try Again’ wamefanikiwa kuinasa saini ya Kiungo Mshambuliaji kutoka Niger Victorien Adebayor muda mchache kabla ya kuivaa Taifa Stars juzi Jumapili (Juni 18).
 

Kwangua na Ushinde

21/06/2023 10:24:01
Wakati ligi nyingi zikiwa zimemalizika na nyingine zikielekea ukingoni, Betway imekuja na promosheni mpya kwa wateja wa kasino itakayokupa nafasi ya kushindia zawadi na bonasi hadi TSh 100 miliioni na mchongo huo ni – Kwangua na Ushinde.
 

Betway Kukuza Soka la Tanzania Kuanzia Ngazi ya Mtaa

15/06/2023 15:32:57
Kampuni ya michezo ya kubashiri ya kimataifa, Betway Tanzania imezindua rasmi programu ya kutoa vifaa vya michezo kwa timu za soka za mtaani.

AL AHLY WAILAINISHIA SIMBA KWA MIQUISSONE...

14/06/2023 17:33:33
Al Ahly imemuweka sokoni wing wake Jose Miquissone akiuzwa dola 250,000 (Sh 590 milion).
 

AFCON - Tanzania v Niger

14/06/2023 17:15:38
Tanzania watakuwa mwenyeji wa Niger katika mechi ya kufuzu michuano ya kombe la mataifa barani Afrika (AFCON) 2023 mnamo Juni 18 mjini Dar es Salaam
 

FEI TOTO ATUMA SALAMU ZA KHERI YANGA...AJIPA LIKIZO YA WIKI ZNZ

09/06/2023 09:40:57
BAADA ya kufanikiwa kukamilisha usajili wa kiungo wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’, kuwa mali rasmi ya Azam FC, ameahidi kufanya makubwa ndani ya kikosi cha timu yake hiyo mpya kwa msimu ujao wa mashindano.