Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

EPL - Arsenal v Crystal Palace

19/01/2024 16:43:02
Arsenal watakabiliana na Crystal Palace kwenye mechi ya ligi kuu England Januari 20 Jumamosi ugani Emirates nia yao ikiwa kujiweka katika nafasi ya kupigania taji la ligi hiyo.
 

MOLOKO AONYESHWA MKONO WA KWA HERI YANGA....GAMONDI KABARIKI KIBOSI TU YANI

16/01/2024 16:48:07
Yanga imeachana na winga huyo baada ya kuitumikia kwa misimu miwili hivyo ameungana na Wacongo wenzake Djuma

KAZINI KWA 'TAIFA STARS' KUNA KAZI....WASIPOZINGATIA HAYA ITAKULA KWAO

16/01/2024 09:40:58
MUDA uliosubiriwa kwa shauku kubwa ni sasa na kila mmoja anaona namna hali halisi ilivyo nchini Ivory Coast kwenye...

YANGA KUMALIZA USAJILI NA MASHINE HII YA HATARI....JAMAA NI MAYELE MTUPUU

16/01/2024 09:37:26
IKIWA leo ni siku ya mwisho kwa dirisha dogo la usajili kufungwa klabu ya Yanga imetangaza kuwa inakamilisha usajil....

PAMOJA NA KUSINDA JANA ...BENCHIKHA ALIA NA UZEMBE WA CHE MALONE NA WENZAKE

12/01/2024 15:23:20
kocha Benchikha amesema haukuwa mchezo rahisi kwao kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya JKU FC, ni mwanzo mzuri kupata ushindi muhimu kwao walihitaji kuanza

BAADA YA OKRAH....MASHINE INAYOFUATA KUTAMBULISHWA YANGA NI HII.....

12/01/2024 15:01:13
Ofisa habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema baada ya kufanikiwa kumtambulisha Okrah, kazi bado inaendelea na wanaleta mtu hatari eneo la mshambuliaji ambaye anakuja