Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
06/09/2023 15:32:25
Algeria itakuwa mwenyeji wa Tanzania katika mechi ya kufuzu shindano la mataifa bingwa barani Afrika (AFCON) 2023, mnamo Septemba 7 ugani 19 May 1956.
01/09/2023 10:11:50
Leading global online betting and gaming brand Betway has today announced a deal to become the Official Global Betting Partner of Arsenal men’s team.
30/08/2023 16:59:34
Phiri ametoa kauli hiyo kufuatia bao lake la ushindi alilofunga juzi Jumapili katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar, wakati Simba
30/08/2023 15:52:30
Katika hatua nyingine ,Winga wa Simba SC, Aubin Kramo anamalizia muda wake wa mapumziko Ijumaa hii Agosti 25, 2023 na Jumamosi anarejea kikosini kujiunga na wenzake.
30/08/2023 15:44:50
Simba juzi ilifanikiwa kukusanya alama tatu zingine kwa kuibuka na ushundi wa mabao 2-0 katika mchezo wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Dodoma jiji FC.
25/08/2023 23:32:59
Liverpool wanapania kupata ushindi wao wa pili wa ligi msimu huu watakapokabiliana na Newcastle ugani St James' Park Jumapili, Agosti 27.