Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

EPL - Manchester City v Nottingham Forest

22/09/2023 16:16:32
Manchester City wanatarajia kushinda mchezo wao wa sita wa ligi mfululizo tangu kuanza kwa msimu huu mpya watakapoialika Nottingham Forest ugani Etihad Jumamosi Septemba 23.
 

PACHA YA BALEKE, KRANO NA ONANA YAMFANYA MBRAZILI SIMBA KUJA NA HILI JIPYA

15/09/2023 15:45:39
BAADA ya michezo mitatu ya kirafiki kocha Mkuu wa timu Simba, Roberto Oliveira 'Robertinho ameridhishwa na safu yake
 

GAMONDI - YANGA TUTAWEKA REKODI MPYA LIGI YA MABINGWA AFRIKA..

15/09/2023 15:37:58
Yanga Septemba 16, mwaka huu, wanatarajiwa kushuka ugenini nchini Rwanda kuvaana na Al Merreikh ya Sudan katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa mtoano wa Ligi ya Mabingwa Afrika

MAXI NZENGELI ALIVYOIPELEKA YANGA MAKUNDI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

13/09/2023 13:55:19
Yanga ili wafanikiwe kutinga katika hatua ya makundi ya michuano hiyo wanatakiwa kuhakikisha wanaiondoa Al Merrikh

EPL - Wolverhampton Wanderers v Liverpool FC 

13/09/2023 13:19:56
Wolverhampton Wanderers na Liverpool watakabiliana kwenye mechi ya ligi ugani Molineux mnamo Septemba 16.
 

A-Z JINSI TANZANIA WALIVYOISHANGAZA DUNIA YA WAARABU MBELE YA ALGERIA

13/09/2023 11:16:00
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” chini ya kocha Adel Amrouche inafanikiwa kufuzu AFCON 2023