Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

SIMBA WAOMBA 'POO' BODI YA LIGI...MBRAZILI AMTAJA BOCCO CAF

09/10/2023 10:37:16
CEO wa klabu ya Simba SC, Imani Kajula ameiomba bodi ya ligi iwaondolee mchezo wa ligi kuu dhidi ya Singida fountain gate Liti ili wachezaji wapumzike wajiandae na mechi dhidi ya Al-Ahly 20 October 2023

EPL - Arsenal v Manchester City

06/10/2023 16:34:58
Manchester City watakabiliana na Arsenal katika mechi ya ligi ugani Emirates mnamo Jumapili Oktoba 8.
 

INONGA NDIO BASI TENA SIMBA....MADAKTARI WAFUNGUKA UHALISIA WA JERAHA LAKE...

29/09/2023 17:06:36
BEKI wa Simba, Hennock Inonga hatokuwa sehemu ya mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos ya Zambia ya kufuatia  kushonwa nyuzi 13 katika

EPL - Bournemouth v Arsenal

29/09/2023 16:58:44
Arsenal wanatarija kupata ushindi watakapokutana na Bournemouth katika mechi ya ligi ugani Vitality Jumamosi Septemba 30.
 

YANGA WATASHIRIKI AFRICAN LEAGUE MWAKANI

29/09/2023 16:55:08
Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Wallace Karia amesema mwakani 2024 kupitia mashindano ya African Football League (Super League) Yanga itakuwa moja wapo ya timu zitakazoshiriki

HATIMA YA AFCON 2027 KUFANYIKA TANZANIA KUJULIKANA WIKI IJAYO

26/09/2023 11:33:07
Hatma ya maombi ya Tanzania, Kenya na Uganda kuandaa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) itajulikana Jumatano (Septemba 27) katika mkutano utakaofanyika jijini