Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo
22/08/2023 17:56:32
Simba iliichapa Power Dynamos ya Zambia mabao 2-0, kwenye Simba Day Agosti 6, mwaka huu, kisha ikatoka sare na Singida.
22/08/2023 15:35:08
Nyota huyo raia wa Afrika Kusini alitolewa uwanjani dakika ya sita ya mchezo huo baada ya kuchezewa rafu na James Akamiko na nafasi yake kuchukuliwa na Chrispin Ngushi.
20/08/2023 16:50:31
Ingia kwenye Ulimwengu wa kubashiri michezo uipendayo na Betway, ukifungua akaunti mpya leo. Anza safari kubashiri na Free Bet hadi TSh 10,000 ukiweka pesa kwa mara ya kwanza.
18/08/2023 17:28:50
Simba imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuibuka na ushindi kwa mikwaju ya penati 3-1 dhidi ya Yanga katika mchezo wa Fainali
18/08/2023 17:11:01
Manchester United watahitaji kuimarisha uchezaji wao iwapo kushinda mechi ya sita mfululizo dhidi ya Tottenham watakapokutana Jumamosi Agosti 19 Tottenham Hotspur Stadium kwenye mechi ya ligi.
15/08/2023 16:37:20
Mara ya kwanza kuifanya Simba Day, ilikuwa Agosti 8, mwaka 2009 viongozi na wanachama walikwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kutoa mashuka 100 katika wadi ya watoto.