Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

CHAMA: SIMBA HII BADO SANA...

22/08/2023 17:56:32
Simba iliichapa Power Dynamos ya Zambia mabao 2-0, kwenye Simba Day Agosti 6, mwaka huu, kisha ikatoka sare na Singida.

'SKUDU' AANZA KUKIWASHA UPYA JANGWANI

22/08/2023 15:35:08
Nyota huyo raia wa Afrika Kusini alitolewa uwanjani dakika ya sita ya mchezo huo baada ya kuchezewa rafu na James Akamiko na nafasi yake kuchukuliwa na Chrispin Ngushi.

Daka Ofa yako ya Ukaribisho ya Betway leo.

20/08/2023 16:50:31
Ingia kwenye Ulimwengu wa kubashiri michezo uipendayo na Betway, ukifungua akaunti mpya leo. Anza safari kubashiri na Free Bet hadi TSh 10,000 ukiweka pesa kwa mara ya kwanza.

UBINGWA WA NGAO YA JAMII WAMPA JEURI ROBERTINHO

18/08/2023 17:28:50
Simba imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuibuka na ushindi kwa mikwaju ya penati 3-1 dhidi ya Yanga katika mchezo wa Fainali

EPL - Tottenham Hotspur v Manchester United

18/08/2023 17:11:01
Manchester United watahitaji kuimarisha uchezaji wao iwapo kushinda mechi ya sita mfululizo dhidi ya Tottenham watakapokutana Jumamosi Agosti 19 Tottenham Hotspur Stadium kwenye mechi ya ligi.
 

'VIBE' LA SIMBA DAY LILIANZIA HUKU KUMBE

15/08/2023 16:37:20
Mara ya kwanza kuifanya Simba Day, ilikuwa Agosti 8, mwaka 2009 viongozi na wanachama walikwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kutoa mashuka 100 katika wadi ya watoto.