Habari za hivi punde za Soka
Habari za hivi punde za Michezo

HILI HAPA JIPYA KUHUSU BALEKE NA ISHU YAKE YA USAJILI WAKE YANGA....GAMONDI ATIA NGUMU....

12/09/2024 16:34:31
Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, ameamua kutovunja kambi, badala yake ameendelea na mazoezi na kikosi kilichobaki

OMBI LA KIBADENI KUTAKA 'KUWATEMEA MATE ' MASTAA WAPYA SIMBA LAJIBIWA HIVI

07/09/2024 15:46:51
ALIYEKUWA Mshambuliaji na kocha wa zamani wa Simba, Abdallah Kibadeni ametaka kuonana na washambuliaji

KUELEKEA MECHI NA WAETHIOPIA....GAMOND AANZA KUTAFUTA CD ZA 'KONEKSHENI'...

06/09/2024 16:12:39
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amesema haifahamu CBE AS ya Ethiopia na analazimika kutafuta CD za michezo...
 

HIZI HAPA SABABU 6 KUNTU ZA AZAM KUTOLEWA CAF MAPEMA...KOCHA WAO KUFUKUZWA?

28/08/2024 11:54:36
Waoka mikate Azam FC wameondolewa rasmi kwenye michuano ya ligi ya mabingwa Afrika (CAFCL) baada ya kukubali

BAADA YA KUTEMWA SIMBA DK ZA JIONII...FREDDY MICHAEL 'FUNGA FUNGA' AVUNJA UKIMYA

28/08/2024 11:47:10
Saa chache baada ya kutemwa na Simba, mshambuliaji Freddy Michael amevunja ukimya na kufunguka.....

BAADA YA KUWAFUMUA VITAL'O 10-0....GAME ZOTE ZA YANGA CAF KUCHEZWA ZNZ

26/08/2024 09:20:26
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ameanza kuchora ramani yake kuelekea hatua inayofuata ya Ligi ya Mabingwa...