Football

Milan kukwaruzana na Empoli

15/12/2021 14:09:07
AC Milan wanapania kuendeleza matokeo mazuri dhidi ya Empoli watakapokutana katika mechi ya ligi mnamo Disemba 22 uwanjani Stadio Carlo Castellani.

Spurs na Liverpool wapania kuendeleza ushindi.

15/12/2021 13:21:13
Tottenham Hotspurs na Liverpool watamenyana katika mechi kali ya ligi Jumapili jioni mjini London huku timu zote zikinuia kuendeleza msururru wa matokeo mazuri.

Sevilla kuialika Atletico katika mechi kubwa ya La liga

14/12/2021 10:02:47
Sevilla FC watakuwa wenyeji wa Atletico Madrid katika mechi ya La liga ugani Estadio Ramón Sánchez Pizjuán  mnamo Disemba 18.
 

Leicester wapania ushindi nyumbani dhidi ya Spurs

13/12/2021 17:00:56
Leicester City watapania kushinda mechi ya ligi nyumbani dhidi ya Tottenham Hotspur kwa mara ya tatu ndani ya miaka saba ugani King Power Disemba 16. 
 

Wachezaji watatu wanaowania kiatu cha dhahabu EPL

09/12/2021 13:27:06
Mbio kuwania taji la ufungaji bora katika ligi ya premier zinaendelea kupamba moto huku wachezaji wengi wakiwania tuzo hilo. 
 

Gerrard arejea Liverpool akiwa kocha wa villa.

09/12/2021 10:37:56
Liverpool wataialika Aston Villa ugani Anfield katika juhudi zao za kupigania ubingwa wa ligi mnamo Disemba 11.

Real na Atletico kutoana kijasho katika Debi ya Madrid

08/12/2021 08:20:23
Real Madrid watakuwa wenyeji wa Atletico Madrid katika mechi ya ligi kuu ya Uhispania Disemba 12 ugani Estadio Santiago Bernabéu.

Venezia kuizamisha zaidi Juventus

07/12/2021 16:39:35
Venezia FC na Juventus watakutana katika mechi ya ligi Disemba 11 kwenye uwanja wa Stadio Pierluigi Penzo.
 

Madrid dhidi ya Inter kuamua mshindi wa kundi D

06/12/2021 17:01:10
Real Madrid wataialika Inter Milan Disemba 7 katika mechi ya ligi klabu bingwa barani ulaya kundi D.
 

Arsenal wapania kuizamisha Everton

03/12/2021 13:56:12
Arsenal watanuia kutonesha zaidi kidonda cha Everton katika mechi za ligi msimu huu watakapokutana ugani Goodson Park Jumatatu jioni.