Football

Rodgers kuja na mbinu za kuwaangamiza waajiri wa zamani

01/02/2022 14:50:24
Leicester wanatazamia kuwashinda Liverpool kwa mara ya pili msimu huu katika mechi za ligi watakapokutana Februari 10 uwanjani Anfield.

Barcelona kuchuana na mabingwa wa La liga, Atletico

01/02/2022 14:35:37
FC Barcelona watakuwa mwenyeji wa Atletico Madrid ugani Camp Nou katika mechi ya ligi mnamo Februari 6.
 

Cameroon na Misri kutibuana kwenye nusu fainali

01/02/2022 14:25:58
Cameroon na Misri watamenyana vikali katika mechi ya nusu fainali ya shindano la AFCON 2021 Februari 3.
 

Miamba wa soka Afrika, Misri na Morocco kufufua uhasama

28/01/2022 15:01:36
Misri itapambana na majirani wake kaskazini mwa Afrika, Morocco katika shindano la AFCON 2021 kwenye mchezo wa robo fainali mnamo Januari 30. 

Ivory Coast na Misri kuchuana katika mechi kali

25/01/2022 16:27:27
Ivory Coast itachuana na Misri katika mtanange mkali wa raundi ya 16 wa kombe la mataifa bara Afrika mnamo Januari 26 2022.

Valencia wanuia matokeo dhidi ya Atletico

20/01/2022 14:36:13
Valencia wanapania kufikisha kikomo ubabe wa Atletico Madrid timu hizo zitakapokutana katika mechi ya ligi mnamo januari 22 ugani Wanda Metropolitano. 
 

Blues na Spurs kutibua vumbi debi ya London

18/01/2022 15:33:42
Chelsea watakuwa wenyeji wa Tottenham ugani Stamford Bridge januari 23 wakitazamia kuweka matumaini ya kushinda ligi hai.

Milan na Juventus kutoana jasho

18/01/2022 15:21:38
AC Milan na Juventus watachuana vikali katika mechi ya ligi januari 23 ugani Stadio Giuseppe Meazza.
 

Valencia na Sevilla kumenyana katika mechi kali ya La liga

14/01/2022 13:20:10
Valencia CF atakuwa mwenyeji wa Sevilla FC katika mechi ya La liga januari 19 ugani Estadio de Mestalla. 
 

Manchester City kuendeleza ubabe wao

13/01/2022 15:16:52
Manchester city watakuwa mwenyeji wa Chelsea katika mechi ya ligi ugani Etihad kunako januari 15 huku wakipania kuendeleza ubabe wake kwenye ligi.