Football

Sociedad kuikabili Bilbao inayoonekana kuimarika

11/01/2023 13:23:55
Real Sociedad itakabiliana na Athletic Bilbao kwenye mechi ya La Liga ugani Estadio de Anoeta Januari 14.
 

United waazimia ushindi dhidi ya City

11/01/2023 11:24:04
Manchester United na Manchester City watamenyana katika mechi ya ligi ugani Old Trafford Januari 14 Jumamosi, ikiwa ni dabi ya 189 baina ya timu hizo.

Atletico na Barcelona katika mtanange mkali wa La liga.

06/01/2023 17:59:07
Atletico Madrid na FC Barcelona watakabiliana katika mechi ya ligi kuu Uhispania mnamo Januari 8 ugani Estádio Cívitas Metropolitano.

Bees kusaka ushindi wa kwanza dhidi ya Reds ndani ya miaka 84.

02/01/2023 17:32:17
Brentford wanatarajia kupata ushindi kwa mara ya kwanza dhidi ya Liverpool tangu mwaka 1938 watakapokutana ugani Gtech Community Stadium Jumatatu Januari 2.

O Atlético prepara-se para receber um Elche ferido

29/12/2022 13:38:06

O Atlético de Madrid vai disputar com a Elche CF mais um jogo da La Liga no Estádio Cívitas Metropolitano no dia 29 de Dezembro.

Liverpool wapania ushindi wa nne mfululizo dhidi ya Villa.

22/12/2022 14:18:45

Liverpool na Aston Villa watakabiliana katika mechi ya ligi mnamo Desemba 26.

Morocco wapania rekodi zaidi mechi ya nusu fainali dhidi ya Ufaransa

13/12/2022 19:58:39
Morocco inatarajia kuandikisha rekodi mpya ya kombe la dunia watakapokutana na mabingwa watetezi Ufaransa Desemba 14 Jumatano kwenye mechi ya nusu fainali.
 

Cup in Qatar - Burudani Kila Wiki

13/12/2022 17:47:39
Macho na masikio yote ya mashabiki wa soka yapo kwenye Kombe la Dunia, wakati wababe wa soka la kimataifa wakichuana kunyakua kombe hilo. Hii ni michuano mifupi zaidi ukiachana na ile ya 1978, bila shaka zitakuwa siku 28 za kusisimua na zenye ushindani.
 

Morocco wapania historia zaidi dhidi ya Ureno

09/12/2022 18:04:53
Morocco inalenga kuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kufika hatua ya nusu fainali ya kombe la dunia watakapo kabiliana na Ureno ugani Al Thumama, Doha Desemba 10 Jumamosi.
 

Ufaransa kwenye kibarua kigumu dhidi ya Poland

02/12/2022 00:16:34
Katika azma ya kutetea taji la kombe la dunia, Ufaransa itakabiliana na Poland Jumapili Desemba 4 kwenye mechi ya hatua ya 16.