Football

Verona wapania kuwatia machungu zaidi Juventus

29/10/2021 09:28:12
Oktoba 30 Hellas Verona itawaalika Juventus uga wa nyumbani Stadio Marc’Antonio Bentegodi katika mchezo wa ligi kuu ya Serie A, Italia.
 

Elche wanuia kuzima ndoto ya ubingwa wa ligi wa Real Madrid

29/10/2021 09:11:35
Elche CF na Real Madrid watakabana koo kwenye mchuano wa ligi utakaogaragazwa katika uwanja wa nyumbani wa Elche, Estadio Manuel Martinez Valero Oktoba 30.
 

Red Devils kuja na makali baada ya kutandikwa na Liverpool nyumbani

28/10/2021 09:31:11
Manchester united wanapania kupata matokeo mazuri watakapokutana na Tottenham Hotspurs Jumamosi hii baada ya kupata kichapo kikali mikononi mwa Liverpool kwenye mchezo wa ligi kuu Engalnd msimu huu wa 2021/22.

Madrid wapania ushindi kwa timu ya Osasuna isiyotabirika

26/10/2021 10:47:53
Real Madrid itamenyana na CA Osasuna  Oktoba 27 ugani Estadio Santiago Bernabeu katika mechi ya ligi kuu nchini Uhispania.

Juventus kukabana koo na Sassuolo

26/10/2021 10:35:42
Sassuolo itawaalika Juventus tarehe 27 Oktoba ugani Allianz stadium katika mechi ya ligi ya Italia, Serie A.
 

Red Devils na Liverpool kuumiza nyasi wikendi hii

21/10/2021 13:51:35
Manchester United watafufua uhasama wao na Liverpool Jumapili hii kwa mara ya kwanza msimu huu wa 2021/22 ugani Old Traffod.

Inter na Juventus kwenye debi ya Derby d'Italia

19/10/2021 11:44:04
Oktoba 24 kutakuwa na mechi ya kukata na shoka, Inter Milan watakapo menyana na Juventus katika mechi ya ligi ugani  Stadio Giuseppe Meazza

Barcelona na Madrid kukutana kwenye debi ya El Clasico

19/10/2021 11:34:00
FC Barcelona watafufua uhasama wao na Real Madrid watakapo kutana kwenye mechi ya ligi ugani Camp Nou Oktoba 24.

Atletico kukata mbawa za Liverpool

18/10/2021 10:49:24
Oktoba 19 kutakuwa na mechi ya ligi ya mabingwa ulaya Atletico Madrid watakapoialika Liverpool katika mechi ya kundi
 

The Foxes na Red Devils wapania matokeo bora

13/10/2021 15:07:26
Baada ya kukosa ushindi kwenye mechi kadhaa zilizopita za ligi kuu Uingereza msimu huu, Leicester City na Manchester United wanapania kupata ushindi kila mmoja watakapo kutana katika uwanja wa King Power stadium jumamosi hii.