Football

Liverpool wapania kushinda taji la 16 la Community Shield

28/07/2022 18:15:56
Liverpool wanapania kushinda taji la Community Shield kwa mara ya kwanza tangu mwaka 2006 watakapokutana na Manchester City ugani King Power Stadium Jumamosi Julai 30. 
 

Sao Tome yapania kuizima Nigeria

13/06/2022 13:27:19
Sao Tome itapambana na Nigeria katika mechi ya kufuzu kombe la mataifa bara Afrika 2023 ugani Stade d'Agadir Juni 13. 
 

Ureno kupambana na Jamhuri ya Czech, UNL

08/06/2022 16:03:43
Ureno na the Czech Republic watapambania nafasi ya kwanza ya kundi 2 watakapokutana kwenye mechi ya UEFA Nationas league Alhamisi Juni 9 Estadio Jose Alvalade.
 

Nigeria kupambana na Sierra Leone

07/06/2022 16:02:52
Nigeria watakuwa mwenyeji wa Sierra Leone kwenye mechi ya kufuzu kombe la mataifa barani Afrika 2023 katika uwanja wa kitaifa wa Abuja Juni 9. 
 

Msumbiji yalenga kisasi dhidi ya Rwanda

01/06/2022 19:04:47
Mozambique na Rwanda watamenyana katika mechi ya kufuzu kombe la mataifa Afrika 2023 ugani FNB Juni 2. 
 

Ureno na Uhispania kukutana kwa mara ya 40

01/06/2022 18:58:26
Uhispania wanatarajia kuendeleza ubabe wao dhidi ya Ureno watakapokutana kwenye mechi ya kwanza ya UEFA Nations League ugani Estadio Benito Villamarin Alhamisi Juni 2. 
 

Reds na Whites kupigania ufalme wa Ulaya

26/05/2022 17:57:22
Liverpool na Real Madrid watakutana kwenye fainali ya ligi ya UEFA kwa mara ya tatu ugani Stade de France mnamo Mei 28 Jumamosi.
 

Taji kwa AC Milan iwapo wataishinda Sassuolo

19/05/2022 14:07:00
US Sassuolo watamwalika AC Milan kwenye mechi ya ligi ya Serie A ugani MAPEI Stadium mnamo Mei 22.
 

Barcelona kumenyana na Villarreal, La Liga

19/05/2022 13:53:48
FC Barcelona watakuwa mwenyeji wa Villarreal CF ugani Camp Nou kwenye mechi ligi mnamo Mei 22.
 

Ushindi wa City dhidi ya Aston Villa kuwapa ubingwa

17/05/2022 16:11:55
Manchester City watatarajia kushinda taji la ligi kwa mara ya sita ndani ya miaka 11 watakapoialika Aston Villa ugani Etihad Mei 22 Jumapili ambayo itakuwa ni siku ya mwisho ya msimu.