Football

IBRAHIM 'BACCA' APEWA FUPA LA AL AHLY...YANGA 'WAKISHITAKI' SIMBA CAF

01/12/2023 15:58:24
Rais wa Klabu ya Yanga Eng. Hersi Said ameitangaza mechi ya Yanga dhidi ya Al Ahly Disemba 2/23 kuwa ni Bacca Day

MASTAA SIMBA WAPEWA 'LAST CHANCE'...MABOSI WAPISHANA KAMBINI KUYAMALIZA

29/11/2023 15:46:33
WACHEZAJI wa Simba wamepewa nafasi ya mwisho kuelekea mchezo wa pili wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy...
 
 

KOCHA MPYA SIMBA HUYU HAPA...TRY AGAIN AANIKA KILA KITU WAZI

17/11/2023 10:52:57
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’, amesema kocha huyo atapewa faili ya wachezaji wote na kuangalia mechi zilizocheza Simba pamoja na kujiridhisha
 

UHAKIKA HILI: USAJILI MPYA WA YANGA DIRISHA DOGO HUU HAPA

17/11/2023 10:26:31
KOCHA mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amependekeza nafasi tatu kuweza kuboresha kipindi cha usajili wa dirisha dogo ambalo linatarajiwa kufunguliwa Desemba mwaka huu.
 

Shuhudia Taifa Stars kibaruani AFCON Côte d'Ivoire

16/11/2023 09:48:09
Tanzania tayari imekata tiketi ya AFCON 2023 na tuko tayari kushuhudia uwezo wa mastaa wetu wa Taifa Stars ndani ya Côte d'Ivoire. Wakiwa katika maandalizi ya kupambana na magwiji wa Afrika, Betway iko tayari kukupa odds bomba za AFCON, ili kuongeza mzuka na msisimko wa mashindano.
 

SIMBA SC WAAMUA KUKOMAA NA MOSES PHIRI

11/11/2023 09:49:42
KLABU ya  Simba imewaondisha shaka wanachama na mashabiki wa Simba kuhusu straika wao Moses Phiri ikisema hatoenda popote, badala yake atabaki kuwa mchezaji wa timu hiyo
 

KUELEKEA KARIKOO DERBY...MAKOCHA SIMBA NA YANGA 'WAZUGANA'

11/11/2023 09:39:20
Jumapili ya Novemba 05 mwaka 2023 mishale ya saa 11 jioni, Miamba ya Soka la Bongo (Simba SC na Young Africans) itakwenda kukutana kwa mara ya kwanza msimu huu 2023/24

EPL - Chelsea v Manchester City

11/11/2023 09:23:53
Manchester City watakabiliana na Chelsea kwenye mechi ya ligi ugani Stamford Bridge mnamo Jumapili Novemba 12.
 

EPL - Newcastle United v Arsenal

03/11/2023 18:16:30
Newcastle wanapania kukabili matokeo mabaya dhidi ya Arsenal kwenye ligi watakapokutana ugani St James' Park mnamo Jumamosi Novemba 4.
 

UZI MPYA TAIFA STARS HUU HAPA...

30/10/2023 11:50:20
Rais wa Shirikisho Wallace Karia alisema anaeapongeza Sandalans kwenda kwa muda kupatikana na jezi kabla ya timu zetu hazijaanza mchakato wa mashindano.