BETWAY Tanzania Home
Local
International
Home
Soka
Ligi Kuu
Njia ya
Michezo Mingine
CSR
Winners
Football
Mtanange wa miamba Chelsea na Man City
23/09/2021 09:24:47
Chelsea inawakaribisha Manchester City mechi ya Ligi kuu ya England katika Stamford Bridge tarehe 25 Septemba.
Juventus yamulika ushindi wa kwanza katika Serie A
21/09/2021 11:00:27
Juventus watakuwa wanatafuta ushindi wa kwanza kabisa katika msimu huu wa 2021/22 wa Ligi kuu ya Italia- Serie A jumatano jioni.
Cadiz Yajitapa Itakomesha Barcelona
21/09/2021 10:48:42
Cadiz CF itapimana nguvu na FC Barcelona mechi ya ligi kuu ya Uhispania, La liga, katika uwanja wa Ramón de Carranza Stadium tarehe 23 Septemba.
Wababe Juventus na Milan kumenyana Serie A
16/09/2021 15:05:59
Juventus itapimana nguvu na wababe wenzao AC Milan mechi ya ligi kuu ya Italia Serie A Jumapili tarehe 19 Septemba katika uwanja wa Allianz.
Spurs na Chelsea kuwasha Derby ya London
15/09/2021 09:24:35
Tottenham Hotspur watawakaribisha Chelsea Jumapili hii katika mechi ya ligi kuu ya England 2021/22 inayotarajiwa kuwa derby ya London ya kusisimua sana.
Mtanange mkubwa waja- Barcelona na Bayern
14/09/2021 09:20:40
Barcelona watatazamia kudhihirisha nia yao katika Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya watakapowakaribisha Bayern Munich kwenye mechi ya kundi E jumanne jioni.
Napoli, Juventus mtanange mkubwa wa Serie A
08/09/2021 14:57:42
SSC Napoli itamenyana na Juventus FC mechi ya ligi kuu ya Italia katika uwanja wa Diego Armando Maradona tarehe 11 Septemba.
Mwanzo wa marejeo ya Christiano Ronaldo
08/09/2021 10:54:18
Cristiano Ronaldo atakuwa kivutio kikubwa zaidi Jumamosi hii katika uwanja wa Old Trafford atakapoicheza Manchester United mechi yake ya kwanza tangu kujiunga tena na klabu hiyo, watakapowakarabisha Newcastle ligi kuu ya England.
Sevilla yalenga kuiokomesha Barcelona
08/09/2021 07:07:32
Sevilla FC itakutana na FC Barcelona kwenye ligi kuu ya Uhispania katika uwanja wa Estadio Ramón Sánchez Pizjuán jumamosi Septemba 11.
Manchester City walenga kuongeza masaibu ya Arsenal
26/08/2021 15:44:44
Manchester City wanalenga kuwaongezea Arsenal dhiki ya mwanzo mbaya wa msimu timu hizo mbili zitakapokutana kwenye mechi ya ligi kuu ya England katika uwanja wa Etihad Jumamosi hii.
|<
<
...
31
32
33
34
35
36
37
38
39
40
>
>|