Football

Kuna uwezekano angalau timu moja kutoka Afrika itaaga mashindano

01/12/2022 10:32:51
Kuna uwezekano Cameroon itaaga kombe la dunia 2022 mapema huku Ghana ikipania kisasi dhidi ya Uruguay Ijumaa kwa yaliyotokea 2010.
 

Uhispania dhidi ya Ujerumani kupamba Jumapili

24/11/2022 18:02:19
Baada ya kupata kichapo kutoka kwa Japan, Ujerumani ina kibarua cha ziada ilhali Uhispania itaelekea kwenye mchezo huo mkali siku ya Jumapili ikiwa na matumaini makubwa.
 

Argentina na Ufaransa watarajia mwanzo mzuri kwenye shindano.

21/11/2022 14:48:12
Argentina na Ufaransa ambayo ni mojawapo ya mataifa yanayopigiwa upatu kushinda shindano la kombe la dunia wataanza kampeni zao Novemba 22.
 

Cup In Qatar – Tanzania

18/11/2022 17:55:16
Afrika inawakilishwa vyema katika Kombe la Dunia, pamoja na kukosekana kwa baadhi ya mataifa makubwa. Licha ya juhudi za kubwa zilizofanywa na timu za Kiafrika hapo awali, rekodi za bara la Afrika kwenye michuano hiyo bado si nzuri. Je, tutaona timu ya Afrika ikitinga Nusu Fainali?
 

Gunners kukabana koo na Wolves

09/11/2022 11:41:08
Arsenal wanatazamia kuingia mapumziko ya kombe la dunia wakiongoza ligi huku wakifukuzia ushindi wa tatu mfululizo dhidi ya Wolves Jumamosi Novemba 12 ugani Molineux.
 

Madrid wahofia Cadiz

09/11/2022 11:32:15
Real Madrid watamenyana na Cadiz CF kwenye mechi ya ligi kuu ya Uhispania ugani Estadio Santiago Bernabéu Novemba 10.
 

Vallecano kukutana na Real kwenye dabi ya Madrid

04/11/2022 14:38:24
Rayo Vallecano watakutana na Real Madrid kwenye mchezo wa ligi kuu ya Uhispania ugani Estadio de Vallecas Novemba 7.
 

Novemba Burudani

03/11/2022 13:07:07
Novemba ni mwezi wa burudani katika soka la kimataifa, wakati Kombe la Dunia linatarajiwa kutimua vumbi tarehe 20. Ligi Kuu ya Uingereza Serie A na MTN8 bado zinapigwa kama kawa.

Gunners na Blues kukutana kwenye dabi ya 206 ya London

02/11/2022 15:37:34
Arsenal watakuwa wageni ugani Stamford Bridge kukabiliana na Chelsea kwenye mechi ya ligi Jumapili Novemba 6 wakiwa na nia ya kuzidi kushikilia nafasi ya kwanza kwenye jedwali.  
 

Juventus wapania ushindi dhidi ya PSG licha ya kubanduliwa

31/10/2022 17:06:57
Juventus watamenyana na Paris Saint Germain kwenye mechi ya klabu bingwa ulaya kundi H Novemba 2.