Football

KUHUSU HATMA YAKE NA YANGA...BANGALA AVUNJA UKIMYA

26/06/2023 16:52:24
Mchezaji wa klabu ya soka ya Yanga Yannick Litombo Bangala amethibitisha kwamba bado anayo nafasi kubwa ya kuendelea kusalia...

 

ZA NDAAANI...SIMBA NA ADEBAYOR MAMBO NI BAM'BAM

21/06/2023 17:21:22
Mabosi wa Simba SC wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa timu hiyo, Salim Abdallah ‘Try Again’ wamefanikiwa kuinasa saini ya Kiungo Mshambuliaji kutoka Niger Victorien Adebayor muda mchache kabla ya kuivaa Taifa Stars juzi Jumapili (Juni 18).
 

Betway Kukuza Soka la Tanzania Kuanzia Ngazi ya Mtaa

15/06/2023 15:32:57
Kampuni ya michezo ya kubashiri ya kimataifa, Betway Tanzania imezindua rasmi programu ya kutoa vifaa vya michezo kwa timu za soka za mtaani.

AL AHLY WAILAINISHIA SIMBA KWA MIQUISSONE...

14/06/2023 17:33:33
Al Ahly imemuweka sokoni wing wake Jose Miquissone akiuzwa dola 250,000 (Sh 590 milion).
 

AFCON - Tanzania v Niger

14/06/2023 17:15:38
Tanzania watakuwa mwenyeji wa Niger katika mechi ya kufuzu michuano ya kombe la mataifa barani Afrika (AFCON) 2023 mnamo Juni 18 mjini Dar es Salaam
 

FEI TOTO ATUMA SALAMU ZA KHERI YANGA...AJIPA LIKIZO YA WIKI ZNZ

09/06/2023 09:40:57
BAADA ya kufanikiwa kukamilisha usajili wa kiungo wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’, kuwa mali rasmi ya Azam FC, ameahidi kufanya makubwa ndani ya kikosi cha timu yake hiyo mpya kwa msimu ujao wa mashindano.
 

UCL - Manchester City v Inter Milan

09/06/2023 09:11:32
Manchester City watamenyana vikali na Inter Milan kwenye fainali ya kombe la klabu bingwa barani ulaya Ataturk Olympic Stadium mnamo Jumamosi Juni 10.
 

La Liga - Villarreal CF v Atletico Madrid

01/06/2023 17:16:17
Villarreal CF na Atletico Madrid watamenyana vikali katika mechi ya ligi kuu Uhispania Juni 4 ugani Estadio de la Cerámica.
 

Serie A - SSC Napoli v US Sampdoria 

01/06/2023 17:03:15
SSC Napoli watakuwa wenyeji wa UC Sampdoria katika mechi ya ligi ugani Stadio Diego Armando Maradona mnamo Juni 4.
 

FA Cup - Manchester City v Manchester United

31/05/2023 13:12:18
Manchester City watamenyana na Manchester United katika mechi ya fainali ya kombe la FA mnamo Juni 3 Jumamosi ugani Wembley.