BETWAY Tanzania Home
Local
International
Home
Soka
Ligi Kuu
Njia ya
Michezo Mingine
CSR
Winners
Football
EPL - Manchester United v Fulham
26/05/2023 13:47:21
Manchester United wanatazamia kuendeleza ubabe wao dhidi ya Fulham watakapokutana kwenye mechi ya ligi ya kumalizia msimu mnamo Jumapili Mei 28.
Robertinho Aachiwa Msala wa Usajili Simba S.C
22/05/2023 16:40:10
Bodi ya Wakurugenzi ya Simba chini ya Mwenyekiti wake, Salim Abdallah (Try Again), imesema imekabidhi majukumu yote ya usukaji kikosi kipya kwa ajili ya msimu ujao kwa Kocha Mkuu, Robertinho Oliveira
EPL - Manchester City v Chelsea
19/05/2023 14:41:58
Manchester City watatawazwa mabingwa wa ligi ya Premier kwa mara ya tatu mfululizo iwapo wataibuka na ushindi dhidi ya Chelsea ugani Etihad Jumapili Mei 21.
UCL - Manchester City v Real Madrid
16/05/2023 13:25:22
City ambao ni mabingwa wa ligi ya England hawajapoteza mechi ya UEFA msimu huu wakiwa nyumbani. Wameshinda mechi zote tano wakiwa nyumbani huku wakifanikiwa kufunga magoli 20 na kuruhusu magoli 2 tu.
EPL - Everton v Manchester City
12/05/2023 17:43:46
Manchester City watakuwa mgeni wa Everton ugani Goodison Park katika mechi ya ligi mnamo Mei 14 Jumapili ikiwa ni mwendelezo wa juhudi za kutetea taji hilo.
Habari za michezo leo
09/05/2023 10:41:12
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Kalbu ya Simba SC, Ahmed Ally amesema kuwa uongozi wa klabu hiyo na idara zote zitafanya tathmini kwa wachezaji wote, benchi la ufundi na watendaji wote wa timu baada ya kukosa taji hata moja msimu mzima.
UCL - Real Madrid v Manchester City
09/05/2023 07:57:20
Manchester City watakuwa mgeni wa Real Madrid kwenye mechi ya klabu bingwa ulaya (UEFA) Mei 9 ugani Estadio Santiago Bernabeu.
CAF Confederation Cup - Yanga SC v Marumo Gallants
08/05/2023 15:35:09
Wapinzani wa Young Africans katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika Marumo Gallants wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam leo Jumatatu (Mei 08) tayari kwa mchezo wa Mkondo wa Kwanza wa Nusu Fainali.
EPL - Newcastle United v Arsenal
05/05/2023 16:44:18
Baada ya ushindi mmoja katika mechi tano, Arsenal watakuwa wageni wa Newcastle United kwenye mchezo wa ligi mnamo Mei 7 Jumapili ugani St James' Park.
CAF Confederation - Yanga SC v Marumo Gallants
05/05/2023 16:23:04
BAADA ya kutinga Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika kocha Mkuu wa Yanga SC Nasreddine Nabi, amesema kuwa sasa ameanza kuwapigia hesabu wapinzani wao Marumo Gallants.
|<
<
...
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
...
>
>|