Football

EPL - Liverpool v Chelsea

24/01/2024 10:32:07
Liverpool wanatarajia kupata ushindi wa kwanza ndani ya michezo sita ya ligi dhidi ya Chelsea watakapocheza Januari 31 ugani Anfield, Jumatano.

MAYELE:- TANZANIA WAKIKAZA ...ZAMBIA WATAKUFA GOLI NYINGI SANA

19/01/2024 17:05:04
Mshambuliaji wa Timu ya Taifa ya DR Congo Fiston Kalala Mayele amesema Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’...

EPL - Arsenal v Crystal Palace

19/01/2024 16:43:02
Arsenal watakabiliana na Crystal Palace kwenye mechi ya ligi kuu England Januari 20 Jumamosi ugani Emirates nia yao ikiwa kujiweka katika nafasi ya kupigania taji la ligi hiyo.
 

KAZINI KWA 'TAIFA STARS' KUNA KAZI....WASIPOZINGATIA HAYA ITAKULA KWAO

16/01/2024 09:40:58
MUDA uliosubiriwa kwa shauku kubwa ni sasa na kila mmoja anaona namna hali halisi ilivyo nchini Ivory Coast kwenye...

YANGA KUMALIZA USAJILI NA MASHINE HII YA HATARI....JAMAA NI MAYELE MTUPUU

16/01/2024 09:37:26
IKIWA leo ni siku ya mwisho kwa dirisha dogo la usajili kufungwa klabu ya Yanga imetangaza kuwa inakamilisha usajil....

PAMOJA NA KUSINDA JANA ...BENCHIKHA ALIA NA UZEMBE WA CHE MALONE NA WENZAKE

12/01/2024 15:23:20
kocha Benchikha amesema haukuwa mchezo rahisi kwao kupata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya JKU FC, ni mwanzo mzuri kupata ushindi muhimu kwao walihitaji kuanza

BAADA YA OKRAH....MASHINE INAYOFUATA KUTAMBULISHWA YANGA NI HII.....

12/01/2024 15:01:13
Ofisa habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema baada ya kufanikiwa kumtambulisha Okrah, kazi bado inaendelea na wanaleta mtu hatari eneo la mshambuliaji ambaye anakuja

EPL - Manchester United v Tottenham Hotspur

12/01/2024 14:38:05
Tottenham watakabiliana na Manchester United katika mechi ya ligi ugani Old Trafford mnamo Januari 14 siku ya Jumapili. 

TRY AGAIN: MCHEZAJI YOYOTE ATAKAYEHITAJIKA NA BENCHIKHA ATASAJILIWA HARAKA

29/12/2023 17:17:09
Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi Simba SC Salim Abdallah ‘Try Again’ ameweka wazi kuwa watahakikisha kuwa

KISA USHINDI WA JUZI MBELE YA WAGHANA...GAMONDI KAJA NA HILI YANGA

29/12/2023 17:13:37
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amesema amepata mwanga na matarajio yake kuona mabadiliko makubwa