Football

HII HAPA REKODI YA KIBABE ILIYOWEKWA NA SKUDU NDANI YA TZ

15/08/2023 15:49:33
Mahlatse Makudubela 'Skudu' ameweka rekodi kuwa mchezaji wa kwanza kutoka Afrika Kusini kucheza ligi kuu ya Tanzania Bara

Upo tayari kwa Kombe la Dunia la Wanawake?

02/08/2023 16:18:14
Betway haijawahi kulala kwenye michuano yoyote. Wateja wanafurahia kubashiri soka la wanawake sambamba na promosheni “Clash of Queens”.

FA Community Shield  - Arsenal FC v Manchester City

02/08/2023 15:46:58
Arsenal FC na Manchester City watamenyana kwenye mechi ya Ngao ya Jamii 2023, maarufu kama FA Community Shield ugani Wembley mnamo Agosti 6.
 

WAKATI MASHABIKI WAKIMUWAZA MIQUISSONE..AHMED ALLY AANIKA 'CODE' MUHIMU YA KUZINGATIA

27/07/2023 17:09:26
Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally alisema atakuwa sehemu ya kuongoza msafara wa uzinduzi

HUKU ISHU YA CHAMA IKIZIMWA KIMYA KIMYA...MBRAZILI ASHINDWA KUJIZUIA KUHUSU MASTAA WAPYA

21/07/2023 17:53:25
KOCHA mkuu wa Simba, Mbrazil, Robert Oliveira 'Robertinho' ameuambia uongozi wa timu huyo kuhakikisha anawapata

WAKATI YANGA WAKIKUBALI YAISHE KWA MAYELE...KIFAA KIPYA KITAKACHOMRITHI HIKI HAPA

21/07/2023 17:01:07
Ofisa habari wa Yanga, Ali Kamwe alisema wamekamilisha usajili wa winga huyo anbaye amecheza timu

STAA ALIYEPIGWA CHINI AZAM FC AIBUKIA SIMBA SC

19/07/2023 10:12:54
Tayari Simba SC imesajili wachezaji wapya wanne wa kimataifa katika dirisha hili kubwa, ambao ni kiungo mkabaji Fabrice Ngoma

SIMBA SC KUFIKIA HOTEL HII YA KIFAHARI KWA AJILI YA KAMBI NCHINI UTURUKI

07/07/2023 15:40:15
KWA Lugha rahisi unaweza kusema kambi ya Simba wanayokwenda kuiweka nchini Uturuki ni ya kifahari wakiwa wanajiandaa na msimu 2023/24 ambao wamepanga kufanya maajabu Ligi Kuu na michuano ya kimataifa.
 

KUHUSU KUSHUSHA MASTAA WAPYA...MABOSI SIMBA WAPANGA KUFANYA KWELI

05/07/2023 17:00:08
Mabosi wa Simba SC wameweka wazi kuwa maboresho yatakayofanywa kwenye kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24.

MKUDE ASHAURIWA AFANYE SHEREHE KUACHWA NA SIMBA

05/07/2023 16:35:48
Mchambuzi mahiri wa soka, Saleh Ally Jembe amesema Klabu ya Simba imemvumilia sana aliyekuwa mchezaji wake