Football

EPL - Arsenal v Manchester City

06/10/2023 16:34:58
Manchester City watakabiliana na Arsenal katika mechi ya ligi ugani Emirates mnamo Jumapili Oktoba 8.
 

INONGA NDIO BASI TENA SIMBA....MADAKTARI WAFUNGUKA UHALISIA WA JERAHA LAKE...

29/09/2023 17:06:36
BEKI wa Simba, Hennock Inonga hatokuwa sehemu ya mechi ya marudiano ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Power Dynamos ya Zambia ya kufuatia  kushonwa nyuzi 13 katika

EPL - Bournemouth v Arsenal

29/09/2023 16:58:44
Arsenal wanatarija kupata ushindi watakapokutana na Bournemouth katika mechi ya ligi ugani Vitality Jumamosi Septemba 30.
 

YANGA WATASHIRIKI AFRICAN LEAGUE MWAKANI

29/09/2023 16:55:08
Rais wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Wallace Karia amesema mwakani 2024 kupitia mashindano ya African Football League (Super League) Yanga itakuwa moja wapo ya timu zitakazoshiriki

EPL - Manchester City v Nottingham Forest

22/09/2023 16:16:32
Manchester City wanatarajia kushinda mchezo wao wa sita wa ligi mfululizo tangu kuanza kwa msimu huu mpya watakapoialika Nottingham Forest ugani Etihad Jumamosi Septemba 23.
 

PACHA YA BALEKE, KRANO NA ONANA YAMFANYA MBRAZILI SIMBA KUJA NA HILI JIPYA

15/09/2023 15:45:39
BAADA ya michezo mitatu ya kirafiki kocha Mkuu wa timu Simba, Roberto Oliveira 'Robertinho ameridhishwa na safu yake
 

GAMONDI - YANGA TUTAWEKA REKODI MPYA LIGI YA MABINGWA AFRIKA..

15/09/2023 15:37:58
Yanga Septemba 16, mwaka huu, wanatarajiwa kushuka ugenini nchini Rwanda kuvaana na Al Merreikh ya Sudan katika mchezo wa mkondo wa kwanza wa mtoano wa Ligi ya Mabingwa Afrika

EPL - Wolverhampton Wanderers v Liverpool FC 

13/09/2023 13:19:56
Wolverhampton Wanderers na Liverpool watakabiliana kwenye mechi ya ligi ugani Molineux mnamo Septemba 16.
 

A-Z JINSI TANZANIA WALIVYOISHANGAZA DUNIA YA WAARABU MBELE YA ALGERIA

13/09/2023 11:16:00
Timu ya Taifa ya Tanzania “Taifa Stars” chini ya kocha Adel Amrouche inafanikiwa kufuzu AFCON 2023 

AFCON - Algeria v Tanzania 

06/09/2023 15:32:25
Algeria itakuwa mwenyeji wa Tanzania katika mechi ya kufuzu shindano la mataifa bingwa barani Afrika (AFCON) 2023, mnamo Septemba 7 ugani 19 May 1956.