Football

BAADA YA TETESI ZA KUMALIZANA NA YANGA KUZAGAA...DUBE KAIBUKA NA HILI JIPYA...

25/06/2024 10:29:47
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Azam FC ambaye kwa sasa anatajwa kujiunga na Yanga msimu ujao, Prince Dube amesema

'MASHINE HII' IKITUA TU...YANGA MJIANDAE KUKABIDHI UBINGWA KWA SIMBA MSIMU UJAO...

18/06/2024 09:11:36
Imeeleza kuwa Simba imetuma watu wake nchini humo kwenda kuzungumza na kumaliza dili la kumpa nyota huyo na kumfanya kuwa sehemu ya usajili wa Wekundu wa Msimbazi kwa msimu ujao wa mashindano.
 

TRY AGAIN: NAONDOKA LAKINI KUNAWASALITI BADO...NIMEONGEA NA MO DEWJI MARA 10

14/06/2024 11:33:58
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Salim Abdallah 'Try Again' amejiuzulu nafasi hiyo na kumuomba...
 

KWA FUJO HIZI MSIMU UJAO BINGWA NI AZAM FC AISEE...LOMALISA NAYE HUYOO CHAMAZI

10/06/2024 13:42:56
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya uongozi wa Azam FC kimesema mazungumzo baina ya mchezaji huyo yanaendelea vizuri na muda wowote kuanzia sasa watamtangaza

AHMED ALLY: KOMBE LA SHIRIKISHO TUKIENDA VIBAYA TUNAKULA ZA USO MAPEMA TU

10/06/2024 10:22:14
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally amewataka mashabiki na Wanachama wa Klabu hiyo kuacha kuidharau michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika
 
 

WAKATI YANGA WAKITAKA BIL 1...FEI TOTO AFUNGUKA HAKUNA WA KUMZUIA KWENDA SIMBA

03/06/2024 10:22:59
Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Azam, Feisal Salum 'Fei Toto' amesema kuwa kwa sasa hakuna mtu wa kumzuia kwenda...

KWA SIMBA HII YA MGUNDA TUNAMFUNGA AL AHLY NNJE NDANI...UBINGWA UKO WAZI KWETU

21/05/2024 17:12:05
Katika msimamo wa Ligi, Yanga wanaongoza wakiwa na alama 68 katika michezo 25, Azam nafasi ya pili alama 57 na michezo 26 huku Simba wakiwa nafasi ya tatu na alama 57.
 

HIVI NDIVYO SIMBA 'WALIVYOGALAGAZWA' NA YANGA KILA KONA MSIMU HUU

20/05/2024 16:26:05
Achana na Simba kukosa ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo kuanzia msimu wa 2021/22, 2022/23 na msimu huu, lakini wana Msimbazi wamepitia nyakati ngumu zaidi
 

KUHUSU AYOUBU KUBAKI AU KUSEPA SIMBA...UKWELI UNAOPASWA KUJUA HUU HAPA...

17/05/2024 16:09:08
Taarifa za uhakika zilizotufikia ni kuwa baadhi ya wachezaji mikataba yao imefikia ukingoni akiwemo Kipa (Ayoub) ambaye ameridhia kuendelea kusalia ndani ya Simba

BARBARA KUCHUKUA NAFASI YA TRY AGAIN SIMBA...ISHU NZIMA HII HAPA

19/04/2024 15:49:32

ALIYEKUWA Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Barbara Gonzalez na Sued Mkwabi wametajwa mmoja wapo huenda akaja kuchukuwa nafasi ya Mwenyekiti