Football

KUELEKEA YANGA vs SIMBA KESHO...HAYA HAPA UNAYOPASWA KUJUA KABLA YA MECHI

19/04/2024 11:49:44
Katika mchezo wa kesho Yanga watakuwa wenyeji wa mchezo huo baada ya Simba kuwa mwenyeji katika mchezo wa mzunguko wa kwanza na kukubali kichapo cha mabao 5-1

EPL - Fulham v Liverpool

17/04/2024 11:02:39
Liverpool wanapania kuimarisha ndoto zao za kushinda taji la ligi kuu England watakapokabiliana na Fulham ugani Craven Cottage Jumapili Aprili 21.
 

CHE MALONE- NINAHITAJI CHANGAMOTO MPYA...NITACHEZA KLABU ZAIDI YA SIMBA

12/04/2024 15:09:07
Simba SC imeelekeza nguvu kwa sasa katika  Ligi Kuu huku Kocha Mkuu Abdelhak Benchikha akiachiwa kazi ya kuanza kusuka upya kikosi kwa msimu ujao
 
 

EPL - Chelsea v Manchester United

12/04/2024 14:59:48
Real Mallorca watamenyana na Real Madrid kwenye mechi ya ligi kuu nchini Uhispania mnamo Aprili 13 ugani Estadi Mallorca Son Moix wakiwa na lengo la kuzima ubabe wa Los Blancos.
 

ENG HERSI: HATUNA WA KUMDAI KWA KILICHOTOKEA CAF

11/04/2024 17:32:38
Kwenye mchezo huo Young Africans walifungwa kwa mikwaju ya Penati 3-2 kufuatia sare ya bila kufungana dakika 90 za mchezo huo katika Uwanja 

KISA PACOME...GAMONDI AWAPIGA MKWARA MAMELOD...

04/04/2024 14:43:58
Katika mchezo wa mkondo wa kwanza timu hiyo iliwakosa Pacome, Khalid Aucho, Pacome Zouzoua na Yao Attohoula kwa sababu ya kuwa majeraha na kuukosa mechi hiyo uliochezwa uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam kwa timu zote 

MNARA WA CHAMA WAANZA KUSOMA SIMBA...

25/03/2024 13:37:47
Chama aliyekuwa amesimamishwa na uongozi kwa tuhuma za utovu wa nidhamu sambamba na kiungo Nassor Kapama aliyepo Mtibwa Sugar kwa sasa, tangu amerejea kwenye fainali za Afcon 2023 alipoenda na timu ya taifa ya Zambia na kuishia makundi

HIVI NDIVYO DUBE ANAVYOZIGONGANISHA SIMBA NA YANGA...ISHU YAKE YAPAMBA MOTO

25/03/2024 11:49:58
Prince Dube ameendelea kuzivuruga Simba na Yanga. Mashabiki wa klabu hiyo wamegawanyika kwa sasa baada ya kuibuka kwa taarifa nyota huyo
 

KUELEKEA MECHI vs AL AHLY...KADUGUDA AIBUKA NA HILI JIPYA

16/03/2024 10:18:41
Simba SC imepangwa kukutana na Al Ahly katika mchezo wa Robo Fainali utakaopigwa Ijumaa (Machi 29), Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam

BAADA YA KUTUPIA JUZI...CHASAMBI AFUNGUKA KUWA NA HOFU SIMBA

05/03/2024 11:03:17
KIUNGO wa Simba, Ladack Chasambi amesema siri kubwa anayoambiwa na Kocha Abdelhak Benchikha anamuamini anatakiwa kupambana na kufuata yale aliyompa katika uwanja wa mazoezi