Football

Betway becomes Global Betting Partner of Arsenal

01/09/2023 10:11:50
Leading global online betting and gaming brand Betway has today announced a deal to become the Official Global Betting Partner of Arsenal men’s team.

PHIRI ATANGAZA VITA KWA MABEKI LIGI KUU...

30/08/2023 16:59:34
Phiri ametoa kauli hiyo kufuatia bao lake la ushindi alilofunga juzi Jumapili katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar, wakati Simba

KIWANGO CHA BEKI MPYA SIMBA CHAMSHTUA MBRAZILI

30/08/2023 15:52:30
Katika hatua nyingine ,Winga wa Simba SC, Aubin Kramo anamalizia muda wake wa mapumziko Ijumaa hii Agosti 25, 2023 na Jumamosi anarejea kikosini kujiunga na wenzake.
 

MASTAA WAPYA SIMBA WAMFANYA 'ROBERTUNHO' KUSEMA HAYA....

30/08/2023 15:44:50
Simba juzi ilifanikiwa kukusanya alama tatu zingine kwa kuibuka na ushundi wa mabao 2-0 katika mchezo wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Dodoma jiji FC.

EPL - Newcastle United v Liverpool

25/08/2023 23:32:59

Liverpool wanapania kupata ushindi wao wa pili wa ligi msimu huu watakapokabiliana na Newcastle ugani St James' Park Jumapili, Agosti 27.

CHAMA: SIMBA HII BADO SANA...

22/08/2023 17:56:32
Simba iliichapa Power Dynamos ya Zambia mabao 2-0, kwenye Simba Day Agosti 6, mwaka huu, kisha ikatoka sare na Singida.

'SKUDU' AANZA KUKIWASHA UPYA JANGWANI

22/08/2023 15:35:08
Nyota huyo raia wa Afrika Kusini alitolewa uwanjani dakika ya sita ya mchezo huo baada ya kuchezewa rafu na James Akamiko na nafasi yake kuchukuliwa na Chrispin Ngushi.

UBINGWA WA NGAO YA JAMII WAMPA JEURI ROBERTINHO

18/08/2023 17:28:50
Simba imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii baada ya kuibuka na ushindi kwa mikwaju ya penati 3-1 dhidi ya Yanga katika mchezo wa Fainali

EPL - Tottenham Hotspur v Manchester United

18/08/2023 17:11:01
Manchester United watahitaji kuimarisha uchezaji wao iwapo kushinda mechi ya sita mfululizo dhidi ya Tottenham watakapokutana Jumamosi Agosti 19 Tottenham Hotspur Stadium kwenye mechi ya ligi.
 

'VIBE' LA SIMBA DAY LILIANZIA HUKU KUMBE

15/08/2023 16:37:20
Mara ya kwanza kuifanya Simba Day, ilikuwa Agosti 8, mwaka 2009 viongozi na wanachama walikwenda Hospitali ya Taifa ya Muhimbili na kutoa mashuka 100 katika wadi ya watoto.