BETWAY Tanzania Home
Local
International
Home
Soka
Ligi Kuu
Njia ya
Michezo Mingine
CSR
Winners
Football
MAKOCHA SIMBA NA IHEFU 'WAKUNJANA MASHATI' KUELEKEA MECHI YA KESHI YA LIGI KUU
27/10/2023 15:53:28
Simba wanakuwa wenyeji uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam wakiwakaribisha Ihefu FC ambao hivi karibuni...
EPL - Manchester United v Manchester City
27/10/2023 13:57:15
Manchester United watakuwa mwenyeji wa Manchester City ugani Old Trafford Oktoba 29 katika mechi ya ligi ambayo itakuwa ni dabi ya 191, mechi itakayo kuwa na athari kubwa katika msimu wa United.
BAADA YA YANGA KUMALIZANA NA AZAM FC JUZI…
26/10/2023 13:24:27
Na mechi ya marudiano Yanga walikuwa ugenini wakipata matokeo ya mabao 2 -0, mchezo uliopigwa uwanja wa Liti, Singida, Mei 4, mwaka huu katika mchezo wa mzunguko wa pili
HIZI HAPA FAIDA ZA MICHUANO YA AFL KWA SIMBA FC
23/10/2023 11:09:48
Manufaa kwa Simba SC Wazo na lengo la Simba sc linaenda kukamilika kwa kuwa klabu kubwa Afrika kwa kushiriki mashindano makubwa na vilabu vikubwa Afrika
KUELEKEA MECHI NA AZAM FC...GAMONDI ALIANZISHA UPYA KWA MASTAA WA YANGA
23/10/2023 10:54:02
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amewabadilishia programu wachezaji wake kulingana na ubora wa Azam FC
EPL - Chelsea v Arsenal
20/10/2023 17:52:17
Arsenal itapambana na Chelsea katika mechi ya ligi ugani Stamford Bridge Jumamosi Oktoba 21. Mechi hii itakuwa yao ya nne dhidi ya timu zilizopo mjini London zinazoshiriki ligi kuu.
YANGA HII YA GAMONDI NI ZAIDI YA BALAA NA NUSU...
16/10/2023 11:09:13
YANGA imebakiza mabao 45 tu katika mechi 25 zilizobaki Ligi Kuu ili ifikie rekodi yake ya ufungaji ya msimu uliopita
SIKU CHACHE BAADA YA MAKUNDI CAF KUTOKA...GAMONDI AITAKA AZAM FC KWANZA
11/10/2023 16:21:04
Gamondi amesema baada ya kuvuna alama tatu mbele ya Geita Gold FC sasa wanarejea uwanja wa mazoezi kufanyia kazi mapungufu yaliyojitokeza na kujiandaa kwa mechi ijayo dhidi ya Azam FC.
BAADA YA KUJUA WAPINZANI WAKE CAF MBRAZILI SIMBA KAGUNA KIDOGO KISHA AKASEMA HILI
11/10/2023 15:55:37
Simba inapangwa pamoja na timu za Wydad Casablanca ya Morocco, ASEC Mimosas (Ivory Coast) na Jwaneng Gallaxy ya Botswana.
SIMBA WAOMBA 'POO' BODI YA LIGI...MBRAZILI AMTAJA BOCCO CAF
09/10/2023 10:37:16
CEO wa klabu ya Simba SC, Imani Kajula ameiomba bodi ya ligi iwaondolee mchezo wa ligi kuu dhidi ya Singida fountain gate Liti ili wachezaji wapumzike wajiandae na mechi dhidi ya Al-Ahly 20 October 2023
|<
<
...
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
...
>
>|