Football

HII HAPA MASHINE MPYA YA KAZI YANGA MSIMU UJAO...AFUNGUKA A-Z KUHUSU ENG HERSI

27/02/2025 17:22:14
EBU vuta picha msimu ujao katika safu ya ushambuliaji ya Yanga yenye Prince Dube na Clement Mzize wenye jumla ya mabao

BAADA YA KUMALIZANA NA MOBETTO...HILI HAPA JIPYA LA AZIZI KI HUKO YANGA

27/02/2025 17:14:44
Pia jaribu kupotezea umahiri alionao wa kufunga na kuasisti, ila ukweli ni kwamba kiungo mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI

HUKO JANGWANI KUNA GUNDU GANI.....MWINGINE ABWAGA MANYANGA YANGA

25/02/2025 15:08:33
Chanzo cha kuaminika kutoka ndani ya Yanga, kinasema kuwa  siku chache baada ya Meskini, Behlulovic ambaye alijiunga na Yanga chini ya Ramovic pia ameomba

MTZ ALIYESAJILIWA WYDAD AANZA NA 'GUU LA KAZI'...MWAMUZI AKATAA 'MGOLI WAKE WA KIDEO'

25/02/2025 15:04:01
MSHAMBULIAJI wa Kitanzania anayekipig Wydad AC ya Morocco, Seleman Mwalimu 'Gomez' ameanza mechi ya kwanza akiwa na uzi wa timu hiyo iliyotoka suluhu na COD Meknes

KISA SARE NA AZAM JANA...SIMBA WAVUNJA UKIMYA TAMKO LAO HILI HAPA

25/02/2025 14:57:23
BAADA ya Februari 24 2025 ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 2-2 Azam FC mabosi hao wakigawana pointi mojamoja na matajiri wa Dar, Azam FC, Simba wametoa tamko

HATARI NA NUSU AISEEE...KIUNGO WA KAZI YANGA AOMBA KUVUNJA MKATABA...ISHU HII HAPA

17/02/2025 17:27:16
Mwanzoni mwa msimu, Gamondi alijaribu kumtumia Andambwile kwenye eneo la beki wa kati lakini kiuhalisia, ni kiungo mkabaji nafasi ambayo kwa Yanga imekuwa ikichezwa na Khalid Aucho.

BAADA YA KUMPIGA MTU 5 JUZI...KOCHA YANGA APATA CHA KUZUNGUMZA....

27/01/2025 13:20:37
BAADA ya kupata ushindi wa mabao 5-0 dhidi ya Copco FC na kutinga hatua ya robo fainali ya Kombe la FA, Kocha Mkuu wa Yanga, Sead Ramovic, amesema

BAADA YA KUISHIA MAKUNDI CAF...PACOME ASHINDWA KUJIZUIA YANGA

27/01/2025 13:03:45
Baada ya kubeba Ngao ya Jamii, huku Yanga ikishindwa kufikia malengo ya kucheza robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, Pacome amesema hawatakubali tena kuona wanawaumiza mashabiki

PACOME, YAO NA DUBE WATENGWA YANGA.....RAMOVIC AWAPIGA 'MKWARA WA KUFA'

27/01/2025 11:39:50
Yanga itaanza mechi za duru la pili la Ligi Kuu Bara kwa kula kiporo dhidi ya Kagera Sugar wikiendi ijayo kabla ya kucheza mechi nyingine ndani ya Februari na kusubiri kuja kuvaana na watani wao, Simba katika Dabi ya Kariakoo itakayipigwa Machi 8, likiwa pambano la kwanza
 

BAADA YA KUFUZU KIBABE KWENDA 8 BORA CAF...HILI HAPA NENO LA MO DEWJI KWA SIMBA

22/01/2025 16:49:17
Wakati huo huo, kikosi cha Simba kimepewa mapumziko ya siku nne, baada ya hapo kinatakiwa kurejea kwa ajili ya mchezo wa Kombe la FA, pamoja na Ligi Kuu Tanzania Bara